Tuesday, May 29, 2012

Mkutano Mkubwa sana wa Sherehe za Ishara na Miujiza; Dar-es-salaam.



Mkutano mkubwa sana kuwahi kufanyika jijini Dar-es-salaam hatimaye bado siku 14 yaani majuma mawili tushuhudie roho za watu wengi sana zikirejea tena kwa muumba wa vyote.

Kamati za maandalizi zinafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha kuwa kinachobaki iwe ni Bwana mwenyewe kuyagusa maisha ya watu; wakiokoka na wengi kufunguliwa toka katika vifungo vya yule mwovu Ibilisi.

Pitia  http://www.missionsos.org/en johannes_amritzer/ kuelewa ni nani huyo, Johannes Amritzer ambaye Bwana amekuwa akimtumia kwa injili ya mikutano mikubwa sana hapa duniani.